muhtasari

Home » » MARIO Balotelli ameachwa na aliyekuwa mchumba Fanny Neguesha

MARIO Balotelli ameachwa na aliyekuwa mchumba Fanny Neguesha


 

MARIO Balotelli ameachwa na aliyekuwa mchumba Fanny Neguesha 

 siku chache baada ya kuripotiwa kusema kwamba kikosi kizima cha Real Madrid kingeweza kulala nae ikiwa wangeitoa Borussia Dortmund.

Mwanamitindo Fanny, 22, aliondoka kwenye nyumba ya mshambuliaji huyo huko Italia baada ya kugombana kutokana kutoelewana baina ya wawili hao.

Popular Post

 
Support : OBAMA | OBAMA | OBAMA
Copyright © 2013. DiraYaLeo - All Rights Reserved
Template Created by Barakaeli Aremu Published by Dira Ya Leo
Proudly powered by Blogger