
Familia ya marehemu katika ibada ya kumwaga marehemu Erasto Msuya iliyofanyika Jumatatu huko Sakina Arusha.Kwa Picha zaidi BOFYA HAPA




Familia ya marehemu katika ibada ya kumwaga marehemu Erasto Msuya iliyofanyika Jumatatu huko Sakina Arusha.

Dada wa marehemu Erasto Msuya katika ibada ya kumwaga marehemu kaka yake Erasto Msuya nyumbani kwake Sakina Arusha

Ndugu jamaa na marafiki wakiwa na majonzi.

Mchungaji Mwanga akitoa neno katika ibada hiyo.
