Mabingwa wa Vodacom Premier League 2012 -2013, jana tarehe 10 Agosti
2013 wamezinduwa Tawi la Klabu hiyo kongwe lililooko Mbagala Kiburugwa
Mfenesini.

Kaimu Mkurugenzi wa Yanga, Ndg Denis Oundo akipandisha bendera ya Young
Africans Sports Club (Yanga) katika ofisi za Tawi hilo kuonesha
kuhitimisha ufunguzi wa Tawi. Bw. Oundo alimwakilisha Mwenyekiti wa
Klabu hiyo Ndg. Yusuf Manji.
WANACHAMA WAPYA
JAMANI, USHINDI, RAHAAA….