muhtasari

Home » , , » MZEE MAJUTO ATANGAZA NIA MWAKA 2015... NI UBUNGE KWA TIKETI YA CCM...

MZEE MAJUTO ATANGAZA NIA MWAKA 2015... NI UBUNGE KWA TIKETI YA CCM...



Kwa  mujibu  wa  mtandao wa Bongomovies, msanii  mkongwe wa  vichekesho hapa  nchini, Amri Athumani 'King Majuto' ametangaza kugombea ubunge katika  jimbo  la  Tanga  Mjini mwaka  2015


Majuto  mwenye umri  zaidi ya miaka 60 ametangaza nia yake hiyo alipohojiwa na Clouds  na amedai  kwamba atagombea kupitia CCM.

Juhudi  za  kumtafuta  mzee Majuto ili aweze kututhibitishia kama habari hizi ni za kweli au la na kama ni kweli ana mipango gani na jimbo hilo la Tanga mjini  zinafanyika...

Popular Post

 
Support : OBAMA | OBAMA | OBAMA
Copyright © 2013. DiraYaLeo - All Rights Reserved
Template Created by Barakaeli Aremu Published by Dira Ya Leo
Proudly powered by Blogger