muhtasari

Home » » BREAKING NEWS! BEKI WA BLACK LEOPARDS VINCENT MABUSELA ATUA NCHINI KUJIUNGA NA SIMBA !!

BREAKING NEWS! BEKI WA BLACK LEOPARDS VINCENT MABUSELA ATUA NCHINI KUJIUNGA NA SIMBA !!



Ikiwa zimebakia siku chache kabla ya kufungwa kwa dirisha la usajili kwa vilabu vya ligi kuu nchini,Timu ya Simba imempokea beki raia wa Afrika ya kusini Vincent Mabusela kwa kwa ajili ya kujiunga na timu hiyo kwa msimu ujao.
Beki huyo ambaye anatokea klabu ya Black Leopards ambayo imeshuka  daraja msimu uliopita katika Ligi kuu nchini humo,amepokewa jioni hii katika Uwanja wa Ndege wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Mjumbe wa Kamati ya utendaji ya Klabu ya Simba Daniel Manembe.

Popular Post

 
Support : OBAMA | OBAMA | OBAMA
Copyright © 2013. DiraYaLeo - All Rights Reserved
Template Created by Barakaeli Aremu Published by Dira Ya Leo
Proudly powered by Blogger