muhtasari

Home » » BREAKING NEWS: KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI FREEMAN MBOWE KAACHIWA HURU !!!

BREAKING NEWS: KIONGOZI WA UPINZANI BUNGENI FREEMAN MBOWE KAACHIWA HURU !!!



Mwenyekiti Mbowe tayari ameachiwa huru baada ya majadiliano ya kina kati ya Polisi na Mawakili wa Chadema.

Polisi wamekubali mawakili wa Mbowe kujibu kwa maandishi kwanini alisema polisi wanahusika na mlipuko wa Arusha na kisha watafanyia kazi majibu hayo na kutoa uamuzi wao.

Popular Post

 
Support : OBAMA | OBAMA | OBAMA
Copyright © 2013. DiraYaLeo - All Rights Reserved
Template Created by Barakaeli Aremu Published by Dira Ya Leo
Proudly powered by Blogger