muhtasari

Home » » MJADALA: JE NI SAHIHI KWA VILABU VYOTE VYA LIGI KUU YA TANZANIA KULIPWA SAWA KUTOKANA NA MAPATO YA KUUZA HAKI ZA MATANGAZO YA TV?

MJADALA: JE NI SAHIHI KWA VILABU VYOTE VYA LIGI KUU YA TANZANIA KULIPWA SAWA KUTOKANA NA MAPATO YA KUUZA HAKI ZA MATANGAZO YA TV?



Ligi kuu ya Tanzania Bara msimu ujao itaonyeshwa TV kupitia kituo cha Televison cha Azam TV baada ya kamati ya ligi kwa niaba ya vilabu kuingia mkataba wa mabilioni na kampuni ya Azam Media ili kurusha matangazo ya mechi hizo za Ligi kuu kuanzia msimu ujao. 

Kwa mujibu wa mkataba huo vilabu vyote vinavyoshiriki kwenye ligi hiyo vitapokea mgawo sawa wa mapato ya uuzwaji wa haki za matangazo ya Television bila ukubwa wala udogo wa klabu husika. Yanga tayari wameshapinga suala hilo la kulipwa sawa na vilabu vingine - JE Wewe kama Mdau wa soka/michezo kwa ujumla una maoni gani kuhusu suala? TUJADILI
source:shaffih blog.

Popular Post

 
Support : OBAMA | OBAMA | OBAMA
Copyright © 2013. DiraYaLeo - All Rights Reserved
Template Created by Barakaeli Aremu Published by Dira Ya Leo
Proudly powered by Blogger