muhtasari

Home » » TAIFA STARS WALIVYOONDOKA KWA MAJONZI JIJINI KAMPALA BAADA YA KUTOLEWA KWENYE CHAN

TAIFA STARS WALIVYOONDOKA KWA MAJONZI JIJINI KAMPALA BAADA YA KUTOLEWA KWENYE CHAN




KOCHA WA SIMBA MFARANSA PATRICK LEIWIG KURUDI BONGO KUFUNDISHA SOKA

Aliyekuwa kocha wa Simba mfaransa Patrick Leiwig anatarajia kutua nchini kurudi kufundisha soka katika klabu ya African Lyon.

Kwa mujibu wa taarifa za kuaminika kutoka chanzo cha habari kilicho karibu na African Lyon ni kwamba klabu hiyo kwa sasa ipo kwenye mazungumzo mazito na kocha huyo aliyebobea katika kukuza vipaji vya wachezaji makinda.

"African Lyon pamoja na kushuka daraja lakini ni timu ambayo inafanya mambo yake kwa kuangalia mbele zaidi. Sasa wameamua kuwekeza zaidi kwenye timu zao za vijana na ndio maana wanaamua kumchukua kocha ambaye ana uzoefu mkubwa wa kukuza vipaji vya wachezaji makinda. 

"Mpaka sasa mazungumzo yanaendelea vizuri na siku chache zijazo tutegemee kumuona Leiwig akitua Bongo kuja kuiongoza African Lyon," kilikaririwa chanzo hicho cha habari.
chanzo:shaffih blog.

Popular Post

 
Support : OBAMA | OBAMA | OBAMA
Copyright © 2013. DiraYaLeo - All Rights Reserved
Template Created by Barakaeli Aremu Published by Dira Ya Leo
Proudly powered by Blogger