muhtasari

Home » » LIVE MATCH CENTRE: NGAO YA HISANI - YANGA SC VS AZAM FC...

LIVE MATCH CENTRE: NGAO YA HISANI - YANGA SC VS AZAM FC...




Kipindi cha pili cha mchezo kimeanza, Young Africans 1 - 0 Azam FC

Mpira ni mapumziko, Young Africans 1 - 0 Azam FC 
Salum Telela dkk 2

Dakika ya 42 mwamuzi wa pembeni Hamis Chang'alu anatoa maamuzi yanayoonyesha kuwachukiza mashabiki wa Yanga na wanamzomea sana.

Dakika ya 30, Young Africans 1 - 0 Azam FC

Dakika ya 24, Young Africans inafanya mabadiliko anaingia Deogratius Munishi 'Dida' kuchukua nafasi ya Ally Mustapha 'Barthez' aliyeumia

Dakika ya 16 anaingia Mbuyu Twite kuchukua nafasi ya Kelvin Yondani aliyeshindwa kurejea kufuatia kupata maumivu

Dakika ya 16 anaingia Mbuyu Twite kuchukua nafasi ya Kelvin Yondani aliyeshindwa kurejea kufuatia kupata maumivu

Dakika ya ya 15, Young Africans 1 - 0 Azam FC

Dakika  ya 10 ya mchezo Kelvin Yondani anapata majeraha, anatolewa nje kupatiwa matibabu

Dakika ya pili ya mchezo, Salum Telela anaipatia Young Africans bao la kwanza

Mpira ndio umeanza hapa uwanja wa Taifa kati ya Young Africans Vs Azam FC

VIKOSI VYA LEO

YANGA 
1.Ally Mustapha 'Barthez' - 1
2.Juma Abdul - 12
3.David Luhende - 3
4.Kelvin Yondani - 5
6.Athuman Idd 'Chuji' - 24
7.Saimon Msuva - 27
8.Salum Telela - 2
9.Jerson Tegete - 10
10.Didier Kavumbagu - 7
11.Haruna Niyonzima - 8

Subs:
1.Deogratius Munishi 'Dida' - 30
2.Mbuyu Twite - 6
3.Rajab Zahir - 14
4.Frank Domayo - 18
5.Nizar Khalfani - 16
6.Said Bahanuzi - 11
7.Hussein Javu - 21

Popular Post

 
Support : OBAMA | OBAMA | OBAMA
Copyright © 2013. DiraYaLeo - All Rights Reserved
Template Created by Barakaeli Aremu Published by Dira Ya Leo
Proudly powered by Blogger