Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib
Bilal, akimsikiliza Dkt. Mugisha Clement, aliyekuwa akimpa maelezo
kuhusu alivyompokea Mjumbe wa Tume ya Katiba, Dkt. Sengondo Mvungi,
aliyelazwa katika Kitengo cha Uangalizi Maalum (ICU) MOI katika
Hospitali ya Taifa Muhimbili, wakati alipokwenda kumjulia hali, kufuatia
kujeruhiwa na majambazi usiku wa kuamkia jumapili huko nyumbani kwake
maeneo ya Kibamba.
Home »
ELIMU
,
MATUKIO
,
UONGOZI
» BAADA YA DR.MVUNGI KUVAMIWA NA KUKATWA MAPANGA...MAKAMU WA RAIS DR.BILAL AMJULIA HALI MUHIMBILI...
BAADA YA DR.MVUNGI KUVAMIWA NA KUKATWA MAPANGA...MAKAMU WA RAIS DR.BILAL AMJULIA HALI MUHIMBILI...
Posted by Unknown
Posted on Monday, November 04, 2013
Related Articles
- SAUZI YARINDIMA MSIBA WA NELISON MANDELA...
- Samson amtaka msajili wa vyama vya siasa aingile kati swala la ukomo wa Madaraka lililo ondolewa kinyemela na viongozi wa juu wa CHADEMA...
- MTIHANI KIDATO CHA NNE 2013 WAINGIA DOSARI BAADA YA KUVUJA...
- DARAJA LA SIFURI LIPO PALE PALE KATIKA SHULE ZA SEKONDARI YASEMA SERIKALI...NI BAADA YA WADAU KULALAMIKA KUWA KUFUTA SIFURI NI KAMA KUFUGA UJINGA...
- DK.SILAA AIBANA CCM...• Asema imeua elimu, ubunifu wa vijana...
- MAKUBWA: WANAFUNZI WA NGUVUMALI JIJINI TANGA WAFANYA MAPENZI CHOONI NA MADARASANI...
- UDOM MWENDO WA KINYONGA UDAHILI WA WANAFUNZI...
- WANAFUNZI 300 ELIMU YA JUU KUKOSA MIKOPO