muhtasari

Home » » JANUARY MAKAMBA AMVAA MNYIKA BAADA YA KUANIKA NAMBA YAKE YA SIMU HADHARANI...!!

JANUARY MAKAMBA AMVAA MNYIKA BAADA YA KUANIKA NAMBA YAKE YA SIMU HADHARANI...!!


Sakata la kodi ya umiliki wa kadi za simu (simcard tax) sasa limekuwa personal kati ya waheshimiwa. Mbunge wa Ubungo, Mh. John Mnyika ametoa kauli ndefu kuhusu sakata hilo, na kutoa namba za simu za mikononi za baadhi ya waheshimiwa, akiwemo Mh. January Makamba, hadharani ili wananchi wanaotaka kutoa dukuduku lao, wawasiliane...

Popular Post

 
Support : OBAMA | OBAMA | OBAMA
Copyright © 2013. DiraYaLeo - All Rights Reserved
Template Created by Barakaeli Aremu Published by Dira Ya Leo
Proudly powered by Blogger