muhtasari

Latest Article Get our latest posts by subscribing this site
RIDHIWANI: SIASA NINAZOFANYA HAZINA UHUSIANO NA BABA...

RIDHIWANI: SIASA NINAZOFANYA HAZINA UHUSIANO NA BABA...

  Ridhiwani Kikwete.Mshindi wa kura za maoni za kugombea ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM, Ridhiwani Kikwete amesema siasa anazofanya sasa hazina uhusiano wala ubia na baba yake.
CCM, CHADEMA, CUF WANAVURUGA BUNGE, ASEMA DOVUTWA…

CCM, CHADEMA, CUF WANAVURUGA BUNGE, ASEMA DOVUTWA…

Mjumbe wa bunge maalumu la katiba Fahmi Dovutwa akichangia mada wakati wa semina ya wajumbe hao ya kupitia vifungu vya rasimu ya kanuni juzi.Picha na Silvan Kiwale  Mjumbe wa Bunge Maalumu la Katiba, Fahmi Dovu
HATARI…MTOTO ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUCHINJWA NA BABA YAKE MZAZI HUKO KAHAMA...

HATARI…MTOTO ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUCHINJWA NA BABA YAKE MZAZI HUKO KAHAMA...

Mtukio ya kikatili yameendelea kushika kasi wilayani Kahama mkoani Shinyanga ambapo mtoto aitwaye Said Siraji/Said Joshua  amelazwa katika Hospitali ya wilaya usiku wa kuamkia leo, baada ya kunusurika kifo katika jaribio la

"CHADEMA NI CHAMA CHA WAHUNI" ASEMA MWIGAMBA... Asema kitavuruga ndoto za Watanzania Afichua ya Zitto Kabwe na chama kipya

WAKATI maandalizi yote ya uzinduzi wa chama kipya cha ACT-Tanzania yakiwa yamekamilika, Katibu Mkuu wake Samson Mwigamba, ameiponda CHADEMA kuwa ni kusanyiko la wahuni na si wanasiasa. Amewatahadharisha Watanzania kutokubali kurubuniwa na ka
HATARI…MAUAJI YAITIKISA NCHI...JAMBAZI LAENDESHA MAUAJI YA WATU 8 KWA SIKU TATU MFULULIZO, IGP MANGU ASHTUSHWA, APELEKA WAPELELEZI KUMSAKA…

HATARI…MAUAJI YAITIKISA NCHI...JAMBAZI LAENDESHA MAUAJI YA WATU 8 KWA SIKU TATU MFULULIZO, IGP MANGU ASHTUSHWA, APELEKA WAPELELEZI KUMSAKA…

Mauaji ya kutisha yametikisha wilaya ya Tarime kiasi cha kumfanya Mkuu wa Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu, kutuma timu maalum kutoka makao makuu ya jeshi hilo inayohusisha kamisheni ya Operesheni kufanya uchunguzi. Hatua ya ku
KATIBA MPYA KUTUMIKA KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO...KATIBA YA TANGANYIKA YAPENDEKEZWA  IPEWE MAANDALIZI YA MIAKA MINNE...

KATIBA MPYA KUTUMIKA KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO...KATIBA YA TANGANYIKA YAPENDEKEZWA IPEWE MAANDALIZI YA MIAKA MINNE...

Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya, imeelekeza kipindi cha mpito ambacho pamoja na mambo mengine, kitaandaa mazingira ya Katiba hiyo kutumika kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.    “Kufanya maandalizi na kuendesha Uchaguzi Mkuu wa
ZITTO KABWE,KITILA NA MWIGAMBA KUHOJIWA NA CHADEMA IJUMAA YA WIKI HII...

ZITTO KABWE,KITILA NA MWIGAMBA KUHOJIWA NA CHADEMA IJUMAA YA WIKI HII...

Hatima ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, na wenzake waliovuliwa nyadhifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), itajulikana Ijumaa wiki hii wakati Kamati Kuu ya chama hicho itakapokutana kuzungumzia sakata hilo
HII BALAA...SHANGAZI WATOTO WAFUNGIWA NDANI KWA MIEZI SITA NA SHANGAZI...

HII BALAA...SHANGAZI WATOTO WAFUNGIWA NDANI KWA MIEZI SITA NA SHANGAZI...

  “TUNAJUA shangazi anatutesa kwa sababu baba na mama wapo mbali, kama wangekuwepo hapa tusingeteswa hivi. Tunamuomba baba, tunamuomba mama kama watasoma habari hii waje watuchukue turudi nyumbani, shangazi anatutesa sana, wala hatu
PICHA ZA MKUTANO WA CHADEMA MKOANI MWANZA...

PICHA ZA MKUTANO WA CHADEMA MKOANI MWANZA...

Popular Post

 
Support : OBAMA | OBAMA | OBAMA
Copyright © 2013. DiraYaLeo - All Rights Reserved
Template Created by Barakaeli Aremu Published by Dira Ya Leo
Proudly powered by Blogger