Ridhiwani Kikwete.Mshindi wa kura za
maoni za kugombea ubunge wa Jimbo la Chalinze kwa tiketi ya CCM,
Ridhiwani Kikwete amesema siasa anazofanya sasa hazina uhusiano wala
ubia na baba yake.
Latest Article Get our latest posts by subscribing this site
RIDHIWANI: SIASA NINAZOFANYA HAZINA UHUSIANO NA BABA...
Posted by Unknown
Posted on Wednesday, March 05, 2014
CCM, CHADEMA, CUF WANAVURUGA BUNGE, ASEMA DOVUTWA…
Posted by Unknown
Posted on Wednesday, March 05, 2014

Mjumbe wa bunge maalumu la katiba Fahmi Dovutwa akichangia mada wakati
wa semina ya wajumbe hao ya kupitia vifungu vya rasimu ya kanuni
juzi.Picha na Silvan Kiwale
Mjumbe wa Bunge Maalumu
la Katiba, Fahmi Dovu
HATARI…MTOTO ANUSURIKA KIFO BAADA YA KUCHINJWA NA BABA YAKE MZAZI HUKO KAHAMA...
Posted by Unknown
Posted on Wednesday, March 05, 2014

Mtukio ya kikatili yameendelea kushika kasi wilayani Kahama mkoani Shinyanga ambapo mtoto aitwaye Said Siraji/Said Joshua
amelazwa katika Hospitali ya wilaya usiku wa kuamkia leo, baada ya
kunusurika kifo katika jaribio la
"CHADEMA NI CHAMA CHA WAHUNI" ASEMA MWIGAMBA... Asema kitavuruga ndoto za Watanzania Afichua ya Zitto Kabwe na chama kipya
Posted by Unknown
Posted on Wednesday, March 05, 2014

WAKATI maandalizi yote ya uzinduzi wa
chama kipya cha ACT-Tanzania yakiwa yamekamilika, Katibu Mkuu wake
Samson Mwigamba, ameiponda CHADEMA kuwa ni kusanyiko la wahuni na si
wanasiasa.
Amewatahadharisha Watanzania kutokubali kurubuniwa na ka
HATARI…MAUAJI YAITIKISA NCHI...JAMBAZI LAENDESHA MAUAJI YA WATU 8 KWA SIKU TATU MFULULIZO, IGP MANGU ASHTUSHWA, APELEKA WAPELELEZI KUMSAKA…
Posted by Unknown
Posted on Wednesday, January 29, 2014

Mauaji
ya kutisha yametikisha wilaya ya Tarime kiasi cha kumfanya Mkuu wa
Jeshi la Polisi (IGP), Ernest Mangu, kutuma timu maalum kutoka makao
makuu ya jeshi hilo inayohusisha kamisheni ya Operesheni kufanya
uchunguzi.
Hatua ya ku
KATIBA MPYA KUTUMIKA KATIKA UCHAGUZI MKUU UJAO...KATIBA YA TANGANYIKA YAPENDEKEZWA IPEWE MAANDALIZI YA MIAKA MINNE...
Posted by Unknown
Posted on Tuesday, December 31, 2013

Rasimu ya Pili ya Katiba Mpya, imeelekeza kipindi cha mpito
ambacho pamoja na mambo mengine, kitaandaa mazingira ya Katiba hiyo
kutumika kwenye Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2015.
“Kufanya maandalizi na kuendesha Uchaguzi Mkuu wa
ZITTO KABWE,KITILA NA MWIGAMBA KUHOJIWA NA CHADEMA IJUMAA YA WIKI HII...
Posted by Unknown
Posted on Tuesday, December 31, 2013

Hatima
ya Mbunge wa Kigoma Kaskazini, Zitto Kabwe, na wenzake waliovuliwa
nyadhifa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema),
itajulikana Ijumaa wiki hii wakati Kamati Kuu ya chama hicho
itakapokutana kuzungumzia sakata hilo
HII BALAA...SHANGAZI WATOTO WAFUNGIWA NDANI KWA MIEZI SITA NA SHANGAZI...
Posted by Unknown
Posted on Tuesday, December 31, 2013

“TUNAJUA shangazi anatutesa kwa sababu baba na mama wapo mbali, kama
wangekuwepo hapa tusingeteswa hivi. Tunamuomba baba, tunamuomba mama
kama watasoma habari hii waje watuchukue turudi nyumbani, shangazi
anatutesa sana, wala hatu